Ron Gruenhagen, mkulima kutoka Muscatine, Iowa, anasema wakulima wa Marekani wanategemea zaidi masoko ya nje. “Ingekuwa hatuna haya masoko ya kigeni tungeelemewa na wingi wa nafaka na maharage ya soya na pengine tusingejua cha kufanya na mazao haya,” amesema.

Wakulima IOWA wanategemea masoko ya kimataifa

Washington inaandaa kanuni, lakini wanunuzi wetu wengi wako China.